METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, July 22, 2019

WAZIRI JENISTA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MTUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akizungumza na waombolezaji wakati alipowaongoza katika Ibada na kuaga mwili wa mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Richard Kalinga, nyumbani kwa marehemu jijini Dodoma, Julai 22, 2019. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Maadhimisho, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mohammed Kiganja

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akitoa pole kwa familia ya mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Marehemu Richard Kalinga, baada ya kuwaongoza waombolezaji katika Ibada ya kumwombea marehemu na kutoa heshima za mwisho, nyumbani kwa marehemu jijini Dodoma Julai 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com