Mwakilishi
wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta kuu
ya Uchukuzi, Mhandisi. Aron Kisaka akizungumza wakati wa kikao cha
kujadiliana hatua zilizofikiwa katika mchakato wa kuanza matumizi ya
mfumo wa kutathmini mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga katika ukuaji wa
uchumi nchini. Kutoka kushoto ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali toka Ofisi
ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Albina Chuwa na Mkurugenzi Mkuu wa
Mamlaka ua Usafiri wa Angaa (TCAA), Hamza Johari.Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Hamza Johari. akizungumza
wakati wa kikao cha kujadiliana hatua zilizofikiwa katika mchakato wa
kuanza matumizi ya mfumo wa kutathmini mchango wa Sekta ya Usafiri wa
Anga katika ukuaji wa uchumi wa Taifa leo jijini Dodoma. Kutoka kushoto
ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali toka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt.
Albina Chuwa na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Sekta kuu ya Uchukuzi, Mhandisi. Aron Kisaka na Mtakwimu
Mkuu, Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar, Mayasa Mahfoudh
Mwinyi.
Baadhi
ya wajumbe wa Kamati ya kubaini mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga
katika uchumi wa Taifa wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi(hayupo
pichani) alipokuwa akifungua kikao cha kujadiliana hatua zilizofikiwa
kabla ya kuanza matumizi ya mfumo wa kutathmini mchango wa Sekta ya
Usafiri wa Anga katika ukuaji wa uchumi wa Taifa leo jijini Dodoma.Katibu
wa Kamati ya Kubaini mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga katika Uchumi
wa Taifa ambaye pia ni Mkurugenzi wa Udhibiti Uchumu toka Mamlaka ya
Usafiri wa Anga (TCAA), Danieli Malanga akiwasilisha taarifa fupi ya
hatua zilizofikiwa katika mchakato wa kuelekea kuanza matumizi ya mfumo
rasmi wa tathmini ya mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga katika uchumi
wa Taifa wakati wa kikao cha kamati hiyo leo jijini Dodoma.Katibu
wa Kamati ya Kubaini mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga ambaye pia ni
Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi toka Ofisi ya Taifa ya Takwimu
(NBS), Daniel Masolwa akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili hatua
zilizofikiwa katika mchakato wa kuelekea kuanza matumizi ya mfumo rasmi
wa tathmini ya mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga katika uchumi wa
Taifa wakati wa kikao cha kamati hiyo leo jijini Dodoma. Kulia ni Katibu
Mwenza wa Kamati ya Kubaini mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga katika
Uchumi wa Taifa ambaye pia ni Mkurugenzi wa Udhibiti Uchumu toka Mamlaka
ya Usafiri wa Anga (TCAA), Danieli MalangaMwakilishi
wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta Kuu
ya Uchukuzi), Mhandisi. Aron Kisaka (katikati) akiwa katika picha ya
pamoja na wajumbe wa Kamati ya Kubaini mchango wa Sekta ya Usafiri wa
Anga katika Uchumi wa Taifa wakati wa kikao cha kujadiliana hatua
zilizofikiwa katika mchakato wa kuanza matumizi ya mfumo wa kutathmini
mchango wa Sekta ya Usafiri wa Anga katika ukuaji wa uchumi nchini.
(Picha na: Idara ya Habari MAELEZO)
0 comments:
Post a Comment