METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, November 30, 2018

Waziri Mkuu awatoa hofu wafugaji wilayani Bukombe

Novemba 29, 2018 Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa alifanya ziara ya kikazi wilayani Bukombe ambapo aliweka jiwe la msingi kwenye ukarabati wa Kituo cha Afya Ushirombo na baadae kuzungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi Ushirombo.
Tazama Video hapa chini
Na George Binagi-GB Pazzo
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com