Dar Bongo Massive ni moja kati ya kundi la wasanii wa muziki nchini Tanzania wenye vionjo vya kiasili, unapo zungumzia Dar Bongo Massive, hapo ujue umemzungumzia Goody sense, Big Inno na Digospy.
Ikiwa ndio kwanza tunauanza mwaka 2018 Dar Bongo Massive wamefungulia goli kwa truck mpya ambayo imepewa jina la 'LOVE' ngoma hii imetengenezwa katika studio ya B Hits Records chini ya usimamizi wa Producer maarufu kama Pancho Latino.
Kumbuka Dar Bongo Massive wanangoma nnyingi Mchawi, Nataka Kino Leo, ‘Shaghala Baghala’ na zingine kibao.
Friday, January 5, 2018
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya sh. 4, 000,000,000/= kutoka kwa Meneja Mkazi (Country Manager) wa Kampuni ya Madini ya...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment