Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Gasper Byakanwa akiwasisitizia wajumbe wa mkutano
wa Kikao cha Utekelezaji randama ya ushirikiano wa usimamizi wa rasilimali za
misitu Kanda ya Kusini – Mtwara kuazimia kubadiri taratibu za kufanya biashara
ya mkaa kwa kuwataka wafaanyabiashara hiyo kulazimika kupanda shamba la miti
kabla ya kuruhusiwa kuvuna misitu kwa ajili ya kuchoma mkaa. Kikao hicho
kilifanyika leo tarehe 04/12/2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu Mtwara ambapo Byakanwa
alikuwa mgeni rasmi.
Wednesday, December 6, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Recognizing Huawei’s partners at the MetaERP Award Ceremony Huawei announced that it has replaced the legacy ERP system with its Me...
-
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), (kushoto) akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akin...
-
Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Kamishina wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Mhe. Zainab Telack akizingua gari kwa Mrajis Msaidizi wa Mkoa ...
-
Na Mwandishi Wetu, Simiyu Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu Mhe Tano Mwera amejipanga kupunguza na kumaliza kabisa tatizo la ukatili wa...
Powered by Blogger.



0 comments:
Post a Comment