Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Gasper Byakanwa akiwasisitizia wajumbe wa mkutano
wa Kikao cha Utekelezaji randama ya ushirikiano wa usimamizi wa rasilimali za
misitu Kanda ya Kusini – Mtwara kuazimia kubadiri taratibu za kufanya biashara
ya mkaa kwa kuwataka wafaanyabiashara hiyo kulazimika kupanda shamba la miti
kabla ya kuruhusiwa kuvuna misitu kwa ajili ya kuchoma mkaa. Kikao hicho
kilifanyika leo tarehe 04/12/2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu Mtwara ambapo Byakanwa
alikuwa mgeni rasmi.
Wednesday, December 6, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
-
Ofisi Ya Msajili Wa Jumuiya, Wizara Ya Mambo Ya Ndani Ya Nchi imewataka viongozi na wanachama wa vyama, vikundi na taasisi zote zisizo za ki...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment