METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, November 3, 2017

VIJANA WAJADILI MASWALA YA UCHUMI, DEMOKRASIA NA MAENDELEO KITAIFA DAR ES SALAAM

Mtoa mada na Mchambuzi wa Sera na Utafiti wa Kujitegemea Prof Marjorie Mbilinyi akiongea na washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa. Mkutano huo umefanyika jijini Dar es Salaam Novemba 3 2017 kwa udhamini wa Taasisi ya Kijerumani ya Friedrich Ebert Stiftung (FES). (Picha na Robert Okanda Blogs)
Washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa. Mkutano huo umefanyika jijini Dar es Salaam Novemba 3 2017 kwa udhamini wa Taasisi ya Kijerumani ya Friedrich Ebert Stiftung (FES)
(Juu na chini) Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa wakifauatilia mada


Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa wakifauatilia mada



Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa wakifauatilia mada


Waratibu Miradi wa Taasisi ya Kijerumani ya Friedrich Ebert Stiftung (FES) Anna Mbise na Amon Petro, wakiandaa mada za kuwasilishwa na watoa mada wakati wa kuanza kwa mkutano huo.
Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa wakifauatilia mada.

Mwakilishi Mkazi wa Taasisi ya Kijerumani ya Friedrich Ebert Stiftung (FES), Dkt. Stefan Chrobot akiongea na washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa.
Washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa. Mkutano huo umefanyika jijini Dar es Salaam Novemba 3 2017 kwa udhamini wa Taasisi ya Kijerumani ya Friedrich Ebert Stiftung (FES)
Washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa. Mkutano huo umefanyika jijini Dar es Salaam Novemba 3 2017 kwa udhamini wa Taasisi ya Kijerumani ya Friedrich Ebert Stiftung (FES)

Washiriki wa Mkutano wa Vijana uliojadili maswala ya Ukosefu wa ajira, Ushiriki katika Demokrasia na Maendeleo, uliokuwa na kauli mbiu, ‘Vijana ni wadau katika upatikanaji wa suluhisho katika Jamii, Uchumi na Changamoto za kisiasa, wakijisali kabla ya kuanza kwa mkutano huo jijini Dar es Salaam Novemba 3 2017.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com