| Mkuu wa Wilaya ya Geita,Mwl Herman Kapufu akishiriki zoezi la ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kasota. |
| Wananchi wakishiriki zoezi zima la ujenzi wa zahanati. |
| Mganga Mkuu wa wilaya ya Geita,Dkt Raphael Mhina akishiri zoezi la ujenzi wa zahanati kwenye kijiji na kata ya Kasota. |
| Mkuu wa Mkoa wa Geita,Mhandisi Robert Luhumbi akisisitiza wananchi kuendelea kujitokeza kwenye shughuli za maendeleo. |
| Mkuu wa Mkoa wa Geita,Mhandisi Robert Luhumbi akishiriki ujenzi wa madarasa shule ya msingi Ludete(Picha na Joel Maduka) |
0 comments:
Post a Comment