WANAMUZIKI wanaounda kundi linalotikisa Bongo kwa sasa la Rostam, Roma
Mkatoliki na Stamina, wamefunguka kuwa, endapo mmoja kati yao akibaini
mwenzake amechepuka, basi ndiyo itakuwa mwisho wa uhai wa kundi hilo.
Wawili hao kwa sasa wanatamba na wimbo wao wa Huku Ama Kule ambao
unafanya vizuri kwenye vituo vya redio na runinga.
Roma amesema: “Yaani sisi kila mtu hapa alipo anamlinda mwenzake
kuhakikisha hapigi, hachepuki licha ya kwamba kuna vishawishi vingi
ambavyo tunakutana navyo wakati tukisaka ugali wetu wa kila siku.
“Kama ikitokea siku m i m i nimemfuma Stamina au yeye akanifumania nipo
na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu tukifanya mambo ya kimapenzi,
basi hapo ndiyo utakuwa mwisho wa kundi hili.”
Saturday, October 7, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Na Munir Shemweta, WANMM Serengeti Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula ameagiza zoezi...
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI na Mbunge wa Kisarawe Selemani Jafo akijiandaa kukata keki katika katika sherehe ya kuwapongeza...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Kuangalia video za ngono sio jambo jipya kwa jamii yetu, kimsingi ni watu wachache sana wanaweza kujizuia kujichua au kupiga punyeto ...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment