Msanii mkongwe wa muziki wa bongo fleva nchini AY
amefunguka na kusema kuwa bifu kati ya msanii Mwana FA na Lady Jaydee
yeye ilikuwa inamsumbua sana na kusema aliamini ipo siku wanaweza
kumaliza tofauti zao.
AY amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL)
na kusema kuwa kwa kuwa yeye alikuwa ni rafiki wa wasanii hao wote hivyo
ilikuwa inampa ugumu kuona watu hao wanashindwa kupiga hata stori.
Bongo Movies
Saturday, October 28, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali...
-
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro imewataka Wananchi wa Mkoa huo kuwa watulivi wak...
-
Serikali imetoa shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara zilizoharibika maeneo mbalimbali Mkoani Mwanz...
-
Na Aisha Malima-Morogoro Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzani...
-
Na Mathias Canal Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa Bili...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment