METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, June 30, 2017

DC HOMERA APOKEA MADAWATI 300 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 30 TOKA KWA  MBUNGE WA TUNDURU KASKAZINI

Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Mhe. Juma Zuberi Homera, amepokea madawati 300 yenye thamani ya shilingi milioni thelathini toka kwa Mbunge wa Tunduru Kaskazini na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Eng. Ramo Makani. Katika hafla iliyofanyika katika ofisi za maliasili wilayani Tunduru. Katibu...
Share:

UWT YAPULIZA KIPYENGA CHA KUCHUKUA FOMU KUOMBA UONGOZI, YAMUUNGA MKONO JPM KUHUSU MIMBA SHULENI

NA BASHIR NKOROMO, DAR Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi leo ametangaza rami tarehe ya Wanachama wa Jumuia hiyo kuanza kuchukua fomu kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi tangu ngazi ya Kata hadi Taifa, na kusema fomu zinatolewa bure, huku...
Share:

MHE RITTA KABATI AHOJI UTEKELEZAJI WA AGIZO LA ZUIO LA USAFIRISHAJI WA MAHINDI NJE YA NCHI

Na; Ramadhani Shabani Ndugu Mtanzania Ni Tumaini Langu Wewe Ni Buheri Wa Afya Na Unaendelea Vyema Na Utekelezaji Wa Kauli Mbiu Ya Hapa Kazi Tu!Kwa Kufanya Kazi Kwa Bidii Na Weledi Mkubwa Kabisa. Ndugu Mtanzania Hapo Siku Ya Jana Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Liliendelea Na Shughuli Zake Ambapo...
Share:

UVCCM NI ZAIDI YA TANURI LA KUOKA VIONGOZI MAKINI WENYE WELEDI NA WAZALENDO KWA TAIFA LAO

Na; Ramadhani Shabani Ndugu Mtanzania Ni Tumaini Langu Wewe Ni Buheri Kabisa Wa Afya Na Unaendelea Vyema Kabisa Na Utekelezaji Wa Kauli Mbiu Ya Hapa Kazi Tu!Kwa Kufanya Kazi Kwa Bidii,Weledi Na Umakini Mkubwa Kabisa Sambamba Na Kumuunga Mkono *Mhe Rais John Magufuli*Kwa Vitendo Kwani Ndio Uzalendo Wa...
Share:

TAMCO KUENDELEZA HARAKATI ZA KIDINI, KIJAMII TANZANIA

Na Swahilivilla, Washington   Jumuiya ya Waislamu wa Tanzania waishio katika jiji la Washington na vitongoji vyake (TAMCO), imejidhatiti kuendeleza harakati za kijamii nchini Tanzania. Mweka Hazina  wa Jumuiya ya Waislamu wa Tanzania  (TAMCO), Bi Asha Hariz  Hayo yalielezwa...
Share:

UVCCM WAWAWASHIA MOTO WAZEE WA CHADEMA

 Kaimu katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka (wa katikati) akizungumza na waandishi wa Vyombo vya Habari  Ofisi ya UVCCM Upanga dar es Salaam             waandishi na Viongozi Mbalambali wa UVCCM Wakisikiliza TAARIFA ILIYOTOLEWA NA UMOJA...
Share:

WASHIRIKI WA SHINDANO LA BONGO STYLE WAENDESHEWA SEMINA KUHUSU PICHA,MITINDO NA UANDISHI WA FILAMU

Bi. Joyce Msigwa ambaye ni Mratibu wa Faru Arts and Sports Development Organization (FASDO) akitoa maelezo kwa washiriki wa  'Bongo Style Competition'  2017, kuhusiana na asasi ya FASDO Mwezeshaji Bw. Erick Chrispin akitoa semina kwa washiriki wa Bongo Style namna ya kujiongoza wenyewe...
Share:

MHE KISARE MAKORI AZINDUA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA UBUNGO

MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa ufunguzi wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017 Wadau mbalimbali wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, wakimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori Leo June 30, 2017 wakati...
Share:
Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com