
Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Mhe. Juma Zuberi Homera, amepokea madawati 300 yenye thamani ya shilingi milioni thelathini toka kwa Mbunge wa Tunduru Kaskazini na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Eng. Ramo Makani. Katika hafla iliyofanyika katika ofisi za maliasili wilayani Tunduru.
Katibu...