METDO Tanzania

METDO Tanzania

Saturday, March 11, 2017

ORODHA YA MAKTABA 10 ZENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI


Najua kuna watu wanapenda kukaa kwenye Maktaba kusoma machapisho, vitabu na majarida mbalimbali, wakati Tanzania Maktaba ya kisasa inayoendelea kujengwa kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tukiisubiri ikamilike siyo vibaya nikikupitisha duniani kutazama Maktaba zenye mvuto zaidi.
1: Maktaba ya Dokk1 – Aarhus, Denmark
2: Maktaba ya Lawrence Public – Marekani3: Maktaba ya Yangzhou Zhongshuge – China4: Maktaba ya Beyazit – Uturuki5: Maktaba ya Vennesla – Norway6: Maktaba ya Bodø – Norway7: Maktaba ya Chicago – Marekani8: Maktaba ya Birmingham – Uingereza9: Maktaba ya Halifax – Canada10: Maktaba ya Conarte – Mexico
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com