METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, March 10, 2017

MVUA YENYE UPEPO MKALI YAEZUA MAPAA YA NYUMBA153 NA SHULE KATIKA KATA YA MNAZI MMOJA NA MINGOYO MKOANI LINDI

min1
Jana kati ya saa 12 na saa 1 jioni katika kata ya Mnazimmoja na Mingoyo manispaa ya Lindi mvua yenye upepo mkali imeleta maafa makubwa kwa wakazi wa maeneo hayo baada ya kuezua mapaa ya nyumba  153.

Tathimini inaendelea mpaka sasa shule ya msingi muungano madarasa 4 na nyumba 1  ya mwalimu zimeezuliwa  pamoja na hizo  kuna jumla ya nyumba 153 za wakazi zimeharibiwa mvua hizo.
Tathimini inaendelea na taarifa rasmi itakuja.Picha na Abdulazizi Video wa Lindi
min2min3min4min5min6min7min8min9
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com