Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Akhibu Muwango akizungumza na wadau waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Wilayani humo
Kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake Nachingwea 08/03/2017
katika ukumbi wa Mondrane Mess.
"Hakika ilikuwa ni muda mzuri wa
kufahamiana, kubadilishana mawazo, kuelimishana na kuburudika kwa
pamoja, Tumezungumza mambo mengi kwa mustakabali wa wananachingwea, Malezi
bora, masuala ya afya, kuinua ufaulu wa wanafunzi, mapambano dhidi ya
mihadarati, fursa za kiuchumi, kilimo na uwajibikaji kila mmoja kwa
nafasi yake hata hivyo Wanaume wametuunga mkono, wao ni sehemu yetu, waume
zetu, baba zetu, kaka zetu, jirani zetu, viongozi wetu hivyo sio rahisi
kuwatenga." Alisema Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Akhibu Muwango
Pamoja tutashinda na inawezekana
Wednesday, March 8, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkoa wa Songwe, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela (aliyevaa miwani) akikagua orodha ya bidhaa ambazo zimetolewa na Ma...
-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amelitaka Shirika la Maji Safi na Maji Taka DAWASCO kuhakikisha linashughulikia kero zote za...
-
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imemkuta na hatia mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee kumkashifu Mkurugenzi Mtendaji wa Clou...
-
Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Hamdoun Mansoor akiwaonesha ramani Wajumbe wa Kamati y...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment