Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Akhibu Muwango akizungumza na wadau waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Wilayani humo
Kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake Nachingwea 08/03/2017
katika ukumbi wa Mondrane Mess.
"Hakika ilikuwa ni muda mzuri wa
kufahamiana, kubadilishana mawazo, kuelimishana na kuburudika kwa
pamoja, Tumezungumza mambo mengi kwa mustakabali wa wananachingwea, Malezi
bora, masuala ya afya, kuinua ufaulu wa wanafunzi, mapambano dhidi ya
mihadarati, fursa za kiuchumi, kilimo na uwajibikaji kila mmoja kwa
nafasi yake hata hivyo Wanaume wametuunga mkono, wao ni sehemu yetu, waume
zetu, baba zetu, kaka zetu, jirani zetu, viongozi wetu hivyo sio rahisi
kuwatenga." Alisema Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Akhibu Muwango
Pamoja tutashinda na inawezekana
Wednesday, March 8, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
Na Meleka Kulwa – Dodoma Mkurugenzi wa Miradi wa Habitat for Humanity Tanzania, John Massenza, amesema ujenzi wa vyumba vya vyoo vya kis...
-
Na Mwandishi Wetu- Lindi Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Mchemba leo Desemba 21, 2025 amekagua hali ya bandari ya Barazani mkoani Lindi na kuiagi...
Powered by Blogger.


0 comments:
Post a Comment