Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Akhibu Muwango akizungumza na wadau waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Wilayani humo
Kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake Nachingwea 08/03/2017
katika ukumbi wa Mondrane Mess.
"Hakika ilikuwa ni muda mzuri wa
kufahamiana, kubadilishana mawazo, kuelimishana na kuburudika kwa
pamoja, Tumezungumza mambo mengi kwa mustakabali wa wananachingwea, Malezi
bora, masuala ya afya, kuinua ufaulu wa wanafunzi, mapambano dhidi ya
mihadarati, fursa za kiuchumi, kilimo na uwajibikaji kila mmoja kwa
nafasi yake hata hivyo Wanaume wametuunga mkono, wao ni sehemu yetu, waume
zetu, baba zetu, kaka zetu, jirani zetu, viongozi wetu hivyo sio rahisi
kuwatenga." Alisema Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Akhibu Muwango
Pamoja tutashinda na inawezekana
Wednesday, March 8, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Mhe Japhet Hasunga (Mb) Waziri wa Kilimo, akikagua ujenzi vihenge vya kisasa (Silos) na maghala ya kuhifadhia nafaka kabla ya kuzungumza ...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Georgr Binagi-GB Pazzo Serikali imewataka wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini kushughulikia madai ya waalimu ikiwemo madeni stahi...
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Ikumbukwe siongei kwa niaba ya Taasisi Fulani bali naongea kama MNEC. Napenda kumpongeza Rais wangu Dr. John Pombe Joseph magufuli kwa...
Powered by Blogger.


0 comments:
Post a Comment