METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, October 20, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHAMASISHA WATU WENYE UWEZO MASHIRIKA KUSAIDIA HUDUMA ZA KIJAMII

gabo01
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemshukuru Mbunge wa Viti Maluum CCM Mkoa wa Lindi Amida Abdalah kwa kuchangia mabati miamoja kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya wilaya  ya Ruangwa katikati ni  mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa  na kulia  ni mganga mkuu wa wilaya ya Ruangwa Dr Japhet  Simeo makabidhiano hayo yamefanyika katika Hospitali Ruangwa. Picha na Chris Mfinanga
gabo1
Mama Majaliwa akiwasalimia wauguzi na wananchi walio jitokeza katika makabiano ya mabati miamoja yaliyo tolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Lindi
gabo3
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa ameongozana na Mkuu wa mkoa wa Lindi Godfrey Zambi na Mganga mkuu wa Hospitali ya Ruangwa Dr Japhet Simeo wakati waziri mkuu alipotembelea Hospitali ya Wilaya Ruangwa Mkoa wa Lindi.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com