Leo napenda ufahamu kuwa endapo utapata nafasi ya kula angalau chungwa
moja tu kila siku basi tambua wazi kuwa kuna hizi faida hapa chini
utakuwa unazzipata kila unapotumia tunda hilo.
Kwanza utauhakikishia mwili wako usalama mkubwa zaidi wa kiafya kutokana
na tunda hilo kuwa na kiwango cha kutosha cha vitamin C ambayo husaidia
kuimarisha kinga za mwili na kumfanya mhusiaka kutosongwa na magonjwa
ya mara kwa mara kirahisi.Lakini pia ulaji wa chungwa mara kwa mara utaupatia mwili wako madini ya
potassium, calcium, folate, pamoja na vitamin B ambavyo vyote kwa
pamoja ni muhimu ndani ya miili yetu wanadamu.
Pamoja na hayo, chungwa pia lina nyuzinyuzi 'fiber' ambazo huhitajika
sana katika kufanya zoezi la umeng'enyaji chakula ndani ya tumbo na
hivyo kumsaidia mhusika kuepukana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja
na ukosefu wa choo.
Thursday, September 29, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Ofisi Ya Msajili Wa Jumuiya, Wizara Ya Mambo Ya Ndani Ya Nchi imewataka viongozi na wanachama wa vyama, vikundi na taasisi zote zisizo za ki...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua bwalo la chakula na madarasa, katika shule ya sekondari ya bweni ya Lucas Malia, iliyopo wilay...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment