Leo napenda ufahamu kuwa endapo utapata nafasi ya kula angalau chungwa
moja tu kila siku basi tambua wazi kuwa kuna hizi faida hapa chini
utakuwa unazzipata kila unapotumia tunda hilo.
Kwanza utauhakikishia mwili wako usalama mkubwa zaidi wa kiafya kutokana
na tunda hilo kuwa na kiwango cha kutosha cha vitamin C ambayo husaidia
kuimarisha kinga za mwili na kumfanya mhusiaka kutosongwa na magonjwa
ya mara kwa mara kirahisi.Lakini pia ulaji wa chungwa mara kwa mara utaupatia mwili wako madini ya
potassium, calcium, folate, pamoja na vitamin B ambavyo vyote kwa
pamoja ni muhimu ndani ya miili yetu wanadamu.
Pamoja na hayo, chungwa pia lina nyuzinyuzi 'fiber' ambazo huhitajika
sana katika kufanya zoezi la umeng'enyaji chakula ndani ya tumbo na
hivyo kumsaidia mhusika kuepukana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja
na ukosefu wa choo.
Thursday, September 29, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe jana Tarehe 17 Juni 2019 aki...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe anautangazia Umma kuwa, Wizara imeandaa Mkutano wa Wafanyabi...
-
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo Na Mathias Canal, Dar es salaam Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Jijini Da...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment