HATIMAYE
Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli imekisikia kilio
cha muda mrefu cha Wananchi ambao walikuwa wakilalamika kupanda kwa
bei ya sukari nchini.
Akizungumza na Waandishi wa Habari
mchana huu jijini Dar es Salaam Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Sukari
nchini,Henry Semwaza amesema kuanzia sasa kilo moja ya sukari itauzwa
sh. 1800 nchi nzima.
"Serikali, kupitia bodi ya Sukari
Tanzania, inawaarifu wananchi wote kuwa bei ya rejareja ya sukari sasa
itakuwa sh. 1,800 kwa kilo moja. "Amesema Semwaza na kuongeza;
"
Wafanyabiashara wote wanapaswa kuzingatia agizo hili, pamoja na
kuhakikisha kuwa sukari inaendelea kusambazwa na kuuzwa kwa wananchi
bila kuihodhi.
"Maafisa biashara wa mikoa na wilaya watafuatilia
na kusimamia utekelezaji wa agizo kuhusu bei elekezi ya sukari, na
hawatasita kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa wale watakaobainika
kupandisha bei ya bidhaa hiyo. "
Tuesday, March 8, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na Mathias Canal, Dodoma Utangulizi : Mradi wa kufua umeme kwa kutumika nguvu ya maji katika mto Rufuji uliopewa jina la ‘Julius Nyerere...
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Hamis Hussein - Singida Serikali imetoa shilling bilioni 5.9 kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo mapya ya hospitali ya rufaa y...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
Powered by Blogger.


0 comments:
Post a Comment