Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokua akifungua Mkutano Mkuu wa Tano wa Makamanda wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 2021, uliojadili hali ya Jeshi pamoja na Taifa kwa ujumla ili kuweza kutekeleza majukumu yao kwa upeo wa pamoja katika Jeshi hilo. mkutano huo ulifanyika jana katika Kambi ya JWTZ 302 KV Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Tuesday, November 16, 2021
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Mabundulu wilayani Urambo, Mkoa wa Tabora wakati a...
-
Balozi wa uingereza nchini Tanzania David Concar akinywa maji yanayozalishwa na kiwanda cha Mkwawa kilichopo mkoani Iringa akiwa sambamba ...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi) Selemani Jafo akifanya ukaguzi wa vyumba vya madarasa ka...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment