METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, November 16, 2021

AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA NCHINI ALIPOKUWA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA TANO KWA MAKAMANDA WA JWTZ

  

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokua akifungua Mkutano Mkuu wa Tano wa Makamanda wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 2021, uliojadili hali ya Jeshi pamoja na Taifa kwa ujumla ili kuweza kutekeleza majukumu yao kwa upeo wa pamoja katika Jeshi hilo. mkutano huo ulifanyika jana katika Kambi ya JWTZ 302 KV Lugalo Jijini Dar es Salaam.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com