METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, January 10, 2020

RAIS MHE.DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MAKAO MAKUU YA TISS – ZANZIBAR. JANUARI 10, 2020


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein na Makamu wa Rais wa Jamhuri Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Viongozi wengine kuashiria uwekaji jiwe la msingi ujenzi Jengo la Makao Makuu ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) – Zanzibar. Januari 10,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika sherehe ya  uwekaji jiwe la msingi ujenzi Jengo la Makao Makuu ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) – Zanzibar. Januari 10, 2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020.
 Muonekano wa ujenzi wa jengo jipya la Makao makuu ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) Zanzibar ukiendelea ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi Jengo hilo Januari 10,2020, kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020. 
 PICHA NA IKULU
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com