METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, January 14, 2020

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA MABALOZI WA ALGERIA, UJERUMANI NA QATAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Watu wa Algeria nchini Mhe. Ahmed Djellal kwenye hafla
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo jioni Jumanne Januari 14,
2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya
Shirikisho la Ujerumani nchini Mhe. Regina Hess kwenye hafla
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo jioni Jumanne Januari 14,
2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule Taifa la Qatar
nchini Mhe. Hussein Bin Ahmed Mohamed Ibrahim Al-Homaid katika hafla
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo jioni Jumanne Januari 14,
2020
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com