METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, November 15, 2019

Wizara ya Katiba Yaunga Mkono Kampeni ya Kuikijanisha Dodoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome akizungumza na wafanyakazi wa wizara hiyo kabla ya kuanza zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw.Deogratias Yinza akitoa maelekezo kwa wafanyakazi wa wizara hiyo kabla ya kuanza zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Amon Mpanju wakipanda mti wakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Amon Mpanju wakimwagilia maji mti walioupanda wakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome (kushoto) akisaidiwa na mmoja wa wafanyakazi wa Wizara hiyo Bw. Novatus Igosha wakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw.Deogratias Yinza (kushoto) akishiriki katika zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome (kulia) akitoa maelekezo kwa wafanyakaziwakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani.
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa katikazoezi la upandaji miti katika eneo la Ofisi za Wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo. Zoezi hilo ni jitihada za Wizara hiyo katika kuunga mkono kampeni ya Makamu wa Rais ya kuifanya Dodoma inakuwa ya kijani. (Picha na Frank Shija – MAELEZO, Dodoma)

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com