METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, November 19, 2019

MAJALIWA AJIONEA KOROSHO NA KARANGA ZILIZOFUNGASHWA NA WAJASIRIAMALI MTWARA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama korosho na karanga zilizofungashwa na wajasiriamali, Fatina Masungwa (kulia), Shani Mpokwa (wa pili kulia) na  Winfrida Nzelawi nje ya ukumbi wa Tawi la Benki Kuu –  Mtwara baada ya kufungua Kongamano la Biashara na Wakandarisi kwa Kanda ya Kusini, Novemba 18, 2019 . Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB iliyoandaa kongamano hilo, Abdulmajid Nsekela. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com