Pierre-Emerick Aubameyang akiwanyooshea kidole mashabiki
kufurahi nao baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 64
ikiilaza Burnley 2-1 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa
Emirates. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette
dakika ya 13, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya
43 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Saturday, August 17, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu anawataarifu wakazi wa Wilaya hiyo kuwa Mwenge wa Uhuru unataraji kuwasil...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe NEEMA MGAYA (Katikati Mstari wa Mbele) akiwa na baadhi ya wanawake aliowakabidhi vyerehani 370 v...
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na viongozi na wataalam wa elimu kuanzia ngazi ya s...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment