METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, August 16, 2019

HUDUMA ZA TIGO ZAVUTIA MKUTANO WA SADC JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Waziri Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Simu ya Tigo alipotembelea banda la maonyesho wakati wa mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaoendelea jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo Tigo ndio wadhamini rasmi wa Wi-Fi inayotumika katika mkutano huo
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com