METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, August 28, 2019

Dkt. Abbasi Akutana na Kufanya Mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa eGA


Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akiongea na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt. Jabiri Bakari (katikati) alipotembelea Ofisi za Wakala hiyo Leo Jijini Dodoma kujionea masuala mbalimbali ya Teknolijia ya Habari na Mawasiliano
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt. Jabiri Bakari akimueleza jambo Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi masuala mbalimbali yanayohusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Serikalini alipotembelea Ofisi za Wakala hiyo Leo Jijini Dodoma
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com