Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Joseph Kakunda na Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe, Omary Mgumba leo wameanza ziara ya siku tatu ya kiserikali katika Mkoa wa Morogoro 08, Januari 2019 asubuhi kabla kuanza ratiba ya ziara waliripoti ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro ambapo walifanya mazungumzo na Katibu wa CCM Mkoa huo Shaka Hamdu Shaka juu ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika maeneo ya Viwanda, Biashara na uwekezaji katika Mkoa huo.
Tuesday, January 8, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Na Carlos Claudio, Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anamringi Macha, ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
Na Meleka Kulwa- Dodoma Desemba 6, 2025 Jijini Dodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa imepeleka huduma za afya katika Viwanja vya Mnadani...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment