METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, November 7, 2017

SHAKA AZINDUA KAMPENI KATA YA KILOKA MKOANI MOROGORO

Mgeni Rasmi Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka   akisindikizwa na Mwenyekiti wa  CCM  Mkoa,  wabunge  wa jimbo la Morogoro mjini na morogoro kusini mashariki  CCM,  wajumbe wa kamati ya siasa Morogoro mjini na vijijini, Wenyeviti na Makatibu wote wa CCM Wa Wilaya za morogoro mjini na vijijini, Wenyeviti na makatibu wa  Jumuia za CCM Mkoa.

Kaimu Katibu Mkuu Shaka amemnadi na kumuombea  kura Mgombea wa udiwani kwa tiketi ya CCM Jamila Taji ambapo pia aliwapokea wanachama wapya zaidi ya 30  kutoka vyama vya  CUF na Chadema.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com