Moja kati ya wasanii wenye usongo na muziki wa kizazi kipya hapa Bongo ni Helton Dickson. Huyu ni kijana ambaye anatokea pande za Tabora unyamwezini kwa sasa yupo Dar ndani ya New Talents Tanzania (NTT).
Anaendelea kujinoa zaidi huku akitafuta Management nzuri ya kumsimamia ili aweze kutoboa katika muziki, Hivyo kama wewe ni mdau wa Muziki basi tumia fursa hii kuitazama hii video inayoonyesha uwezo wa kipaji chake Helton. Ushauri na Maoni vinaruhusiwa. Kwa lolote tupigie kwenye 0658161950.
Sunday, August 13, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Wananchi wa Hai mara baada ya kuwasili Bo...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Marehemu Abdillah Salim Nyangasa 29 Januari, 1961- 03 Juni, 2020 Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) unasikitika kutangaza k...
-
Mkurugenzi wa uzingativu, ufuatiliaji na tathmini wa (NACTE) Jofrey Oleke akizungumza na waandishi wa habari juu y...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment