Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wafanyakazi wa Makao Makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) Upanga jijini Dar es salaam leo Agosti 28, 2017
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wafanyakazi wa Makao Makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) Upanga jijini Dar es salaam leo Agosti 28, 2017 . Wengine ni
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi na Utawala
bora)Mhe. Angela Kairuki, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma Dr. Laurean Ndumbaro, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bw. Valentino Mlowola, na
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa TAKUKURU Bw. Alex Mfungo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bw. Valentino
Mlowola
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza kwa risala
nzuri Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) Bw. Valentino Mlowola alipowatembelea makao makuu yao Upanga
jijini Dar es salaam leo Agosti 28, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi
ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bw. Valentino Mlowola
alipowatembelea makao makuu yao Upanga jijini Dar es salaam leo Agosti
28, 2017. Wengine ni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala bora) Mhe. Angela Kairuki na Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro.
Picha na IKULU
0 comments:
Post a Comment