Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Mhe. Stephen Wasira leo ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Mhe. Stephen Wasira leo ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha
na Ofisi ya Makamu wa Rais)
0 comments:
Post a Comment