Thursday, December 8, 2016
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,
Mazingira na Muungano January Makamba amesema kuwa mpango wa serikali
ni kuwa na vyanzo vingi vya uzalishaji umeme ili kuwa na vyanzo vya
nchi endelevu na kuunga mkono juhudi za benki ya Dunia kuzalisha umeme
wa upepo katika nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania.
“Kwa kuwa umeme huo utazalishwa kwenye
maeneo ya vijijini, wananchi wanatakiwa kupata umeme kwa bei rahisi
kulingana na uchumi wao na sio kuuziwa umeme kwa bei juu, na zaidi
Wizara yake inapenda kuweka wazi kuwa huu mradi una faida kubwa sana
kulingana na mfumo wa nchi ulivyo,”amesema Makamba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya
kuzalisha umeme wa upepo Afrika Mashariki Six Telecoms, Rashid Shamte
amesema kuwa mfumo huu wa gridi ndogondogo una faida kubwa sana kwa
wananchi kwani asilimia kubwa kulingana na ripoti ya benki ya dunia
wananunua umeme wa bei nafuu kwahiyo serikali imekubaliana na kampuni
yetu na imeweza kukubali kuwa mradi huu una tija na utasimamiwa na
serikali yenyewe kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida pamoja na
Halmashauri.
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu anawataarifu wakazi wa Wilaya hiyo kuwa Mwenge wa Uhuru unataraji kuwasil...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe NEEMA MGAYA (Katikati Mstari wa Mbele) akiwa na baadhi ya wanawake aliowakabidhi vyerehani 370 v...
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na viongozi na wataalam wa elimu kuanzia ngazi ya s...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment