Maelfu ya
wakazi wa Moshi na wanariadha mbalimbali waliohudhuria mashindano ya
Tigo Kili Half Marathon yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha
Ushirika Mjini Moshi
Wafanyakazi
wa kampuni ya Tigo wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza
mashindano ya Tigo Kili Half Marathon katika mashindano hayo
yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika Mjini Moshi.
Waziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (katikati mwenye
kofia) akisubiri kufungua mbio za Tigo Kili half Marathon 2016, mkoani
Kilimanjaro, kulia kwake Meneja masoko Olivier prentout atika
mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika
Mjini Moshi.
Wanariadha
wa Tigo Kili half Marathon wakisubiri kuanza mbio katika mashindano ya
Tigo Kili Half Marathon katika mashindano hayo yaliyofanyika jana
kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika Mjini Moshi.
Wafanyakazi
wa kampuni ya Tigo wakikimbia mbio za Tigo half Marathon katika
mashindano ya Tigo Kili Half Marathon katika mashindano hayo
yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika Mjini Moshi.
Meneja
chapa Tigo, William Mpinga akimalizia mbio za kilometa 21 katika
mashindano ya Tigo Kili Half Marathon katika mashindano hayo
yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika Mjini Moshi.
Wafanyakazi
wa Tigo wakiwa kwenye water point kwa kutoa huduma kwa wakimbiaji
katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon katika mashindano hayo
yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika Mjini Moshi.
Mzee
mwenye Umri wa miaka 70 akiungana na wanariadha wenzake katika
mashindano ya Tigo Kili Half Marathon katika mashindano hayo
yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya Chuo cha Ushirika Mjini Moshi.
0 comments:
Post a Comment