METDO Tanzania

METDO Tanzania

Saturday, June 25, 2022

CHONGOLO AKIFUNGA MAFUNZO VIJANA BURUNDI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD FDD Ndugu Reverien Ndikuriyo wakati wa kufunga  mafunzo maalum ya Uzalendo kwa Vijana Zaidi ya 500 vyalioandaliwa na Chama cha CNDD-FDD katika mkoa wa Makamba, Burundi.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia Vijana wakati wa kufunga mafunzo maalum ya Uzalendo yalioandaliwa na Chama cha CNDD-FDD katika mkoa wa Makamba, Burundi.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com