METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, January 22, 2021

KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu) Mhe. Ummy Nderiananga akijibu hoja zinazohusu masuala ya wenye ulemavu wakati wa kikao hicho.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi akijibu hoja za masuala ya kazi na ajira zilizowasilishwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria walipokutana Januari 22, 2021 Bungeni Dodoma.

Baadhi ya Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia hoja zinazowasilishwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria (hawapo pichani) wakati wa kikao hicho.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati hiyo, kilicholenga kupokea na kujadili muundo na majukumu ya Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) kilichofanyika katika ukumbi Namba 9 wa kumbi za Bunge Jijini Dodoma.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com