Makamau Mwenyekiti wa CCM-Bara Philipo Mangua
akimkaribisha Naibu Waziri za Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha China
(CPC) Xu Luping, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es
Salaam, leo Agosti 31, 2017. Katikati ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Humphrey
Polepole. (Picha na Bashir Nkoromo).
Makamau Mwenyekiti wa CCM-Bara Philipo Mangua
(kulia) akiongoza mazungumzo baina yake na Naibu Waziri za Mambo ya Nje
wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) Xu Luping (kulia) katika Ofisi Ndogo
ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo Agosti 31, 2017
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Ujenzi ya
IDCPC Kanda ya Afrika, Wang Heming akipiga picha mandhari ya eneo
kitakakojenjwa Chuo Kikuu cha Viongozi wa Siasa cha Mwalimu Nyerere, Kibaha
mkoa wa Pwani, alipotembelea eneo hilo, jana, Agosti 30, 2017. Kushoto ni
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ngemela Lubinza
Thursday, August 31, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela akiongea na Wanahabari mara baada ya kumpokea rasmi mkandarasi, kampuni ya CCC (Beijing) Industr...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Bwana Gerald Kusaya akiwahutubia Wageni waalikwa wakiwemo Wakulima na Wanachama wa Chama Kikuu cha Ushirika ...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Mfalme wa Morocco, Mohamed VI Wizara ya Mambo ya Nje ya Morocoo inamtuhumu Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrik...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment