Monday, October 2, 2017

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Kitaifa Kufanyika Tarime

MK1
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Watoto toka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Margaret Mussai akielezea jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime,  Mkoani Mara. Kushoto ni Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali, Save the Children Tanzania Bi. Jasminka Milovanic
MK1a MK2
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali, Save the Children Tanzania Bi. Jasminka Milovanic akifafanua jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime,  Mkoani Mara. Kukulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Watoto toka WizaraMaendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Margaret Mussai.
MK3
Afisa Habari wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bw. Anthony Ishengoma akisisitiza jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime,  Mkoani Mara.
MK4.
Mwakilishi kutoka asasi ya kiraia ya CAMFED Bi. Theresia Moyo akielezea jambo mbele ya Wahariri wa Habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime,  Mkoani Mara. Kutoka kulia ni Mwezeshaji wa Kitaifa toka Taasisi ya Tanzania Girl Guides Bi. Emiliana Stanslaus na Mwakilishi wa Room to Read Bi. Rachel Mbushi.
MK5
Mtaalam wa Haki za Watoto toka Shirika lisilo la Kiserikali, Save the Children Tanzania Bi. Neema Bwaira akisisitiza jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime,  Mkoani Mara. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Familia toka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi. Rose Minja.
MK6
Mhariri wa Habari kutoka kituo cha televisheni cha Channel Ten Bibi. Esther Zelamula akichangia mada wakati wa wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime,  Mkoani Mara.
Na: Mpiga Picha Wetu.

No comments:

Post a Comment