Tuesday, September 17, 2019

RAIS DKT.MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA DC NA DED WILAYA YA MALINYI MOROGORO


Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, Majula Mateko Kasika na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, Mussa Elias Mnyeti. Uteizi wa viongozi hao umetenguliwa kuanzia leo tarehe 17 Septemba, 2019.

No comments:

Post a Comment