Rais Magufuli ametengua uteuzi wa
Mkuu wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, Majula Mateko Kasika na
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, Mussa Elias
Mnyeti. Uteizi wa viongozi hao umetenguliwa kuanzia leo tarehe 17
Septemba, 2019.
No comments:
Post a Comment