WAKALA WA VIPIMO WAKAMATA WANAOCHEZEA MIZANI MKOANI MWANZA
Picha zikiwaonyesha Watuhumiwa wakiwa na
mizani waliyoichezea ili kuwaibia wakulima katika mkoa wa Mwanza kwenye
vyama vya msingi vya kuuzia Pamba ya wakulima
Mkurugenzi wa ufundi Wakala wa vipimo Bi.
Stella Kahwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jinsi
walivyokamata watuhumiwa wa kuchezea mizani kwa ajili ya kuwaibia
wakulima wa Pamba
Watuhumiwa wakiwa chini ya ulinzi mara
baada ya kukamatwa kwa kuchezea mizania kwa lengo la kuwaibia wakulima
wa Pamba Mkoani Mwanza.
Watuhumiwa wakiwa wameshikilia mizani waliyoichezea ili kuwaibia wakulima wa Pamba Mkoani Mwanza.
Waandishi wa habari kutoka Vyombo
mbalimbali wakiwa wanachukua picha za watuhumiwa wa mizani waliyoichezea
kwa lengo la kuwaibia wakulima wa Pamba Mkoani Mwanza.
Watuhumiwa wakiwa ndani ya gari mara
baada ya kukamatwa wakiwa wamechezea mizani kwa lengo la kuwaibia
wakulima wa Pamba Mkoani Mwanza.
Meneja wa Wakala wa vipimo mkoani Mwanza
Bw. Kajungu akiwaonesha waandishi wa habar jinsi viongozi wa vyama vya
msingi walivyokamatwa na mizani inayowaibia wakulima na kueleza kuwa
leo hiiwa wanapelekwa polisi ili wachukuliwe hatua zaidi na kuwa
fundisho kwa wengine
No comments:
Post a Comment