Wednesday, November 28, 2018

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AREJEA NCHINI

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akitokea Nchini Kenya alipokuwa akihudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi Endelevu wa Bahari (Blue Economy).28-11-2018.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Serikali na Binafsi, kuhusiana na ziara yake Nchini Kenya alipokuwa akihudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi Endelevu wa Bahari,(Blue Economy) kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na kulia Waziri wa Kilimo Maliasi Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Mhe. Rashid Ali Juma.akiwa katika ukumbi wa VIP Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi na Wazee waliofika kumpokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume Zanzibar, akitokea Nchini Kenya alipokuwa akihudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi Endelevu (Blue Economy) (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment