Friday, December 2, 2016

WAKUU WA WILAYA WAKUTANA KUJADILI USALAMA WA WANYAMAPORI

Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe Rosemary Staki, Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mhe Aaron Yeseya Mmbago, Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Mhe Yona Lucas Maki, Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Mhe  Januari Sigareti Lugangika na Mkuu wa Wilaya ya Taveta Mhe Henry Wafula wakiwa kwenye kikao cha ujirani mwema Tsavo-Mkomazi Conservation area.

Wakuu wa Wilaya za Same, Mwanga, Mkinga, Lushoto na Taveta za Mkoani Kilimanjaro wamekutana kwa pamoja kujadili usalama wa wanyamapori katika mipaka ili kulinda rasilimali za Taifa ikiwemo Tembo na Faru.

No comments:

Post a Comment