Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe Deo Ndejembi Leo ameitembelea Hospitali ya
Wilaya ya Kongwa kwa kukaguwa Wodi zote nakusalimia wagonjwa walioko
katika wodi hizo, hilo limeambatana na kuzungumza na wagonjwa changamoto
wanazokutana nazo nakujua maoni yao zaidi ili kuboresha huduma za Afya.
DC Ndejembi alimalizia kuzungumza na kaimu Mganga mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Rehema ambae alizungumzia Changamoto ya Umeme pale Tanesco wanapokata umeme kwani Generator ni mbovu.
No comments:
Post a Comment