Thursday, December 31, 2015

Mr Wakati mwema Wazo lake siku 1 kabla ya mkesha wa mwaka mpya



Mathias canal 




mathias canal


Mmiliki wa wazohuru blogspot Aka MR Wakati mwema 

Neno La Wakati Mwema
Unafiki ni kitu kibaya sana
ASKOFU GWAJIMA KUBWA JINGA
Juzi nikiwa nimetuama mahala nikifatilia baadhi ya video nilizotumwa na marafiki zangu kupitia makundi ya Watsup, nilifarijika kukutana na sauti ya Mtumishi wa Mungu Askofu Josephat Mathias Gwajima akizungumzia sakata lake kuwa hakuwahi kumuunga mkono mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa zaidi sana alikwenda mbali zaidi akisema aliunga mkono mabadiliko ya nchi sio mtu.
(Unafiki ni kitu kibaya sana)
Kwangu haikuwa kauli ya kushangaza sana kwa kuwa nilitegemea mbeleni itakuwa hivyo, maana watumishi wengi sana mfano wa Gwajima ni wachache wa fikra zaidi sana wamejawa na ulafi na uongo kwa mambo yasiyowezekana.
Wengine walishangazwa sana na kauli hii ya mtumishi huyo ambaye wengine wanamuita mpakwa mafuta wa mungu...Mimi namuona ni mpakata dhambi za wanaumini wenye imani kubwa nae lakini kumbe ni shangingi wa injili.
(Unafiki ni kitu kibaya sana)
Kuna rafiki yangu mmoja ambaye alikuwa anampenda sana Gwajima kutokana na kauli zake kidini lakini alipata mashaka nae pale Gwajima alipoanza kutajwa tu kama Askofu anayetembea na wake za watu hususani lile sakata lake na mwimbaji Frola Mbasha ambapo Gwajima anatajwa kuzaa na muimbaji huyo mwenye ndoa yake takatifu na mwimbaji mwenzake Emmanuely Mbasha.Hapa Usininukuu
(Unafiki ni kitu kibaya sana)
Pengine bado sijaeleweka vizuri naomba nikukumbushe maneno aliyoyatamka Askofu Gwajima siku ya uzinduzi wa kampeni za Chadema pale Jangwani Jijini Dar es salaam.Naweka maneno aliyosema yeye sitoongeza hata chembe
ASKOFU GWAJIMA KUBWA JINGA
"Sasa majira haya ni ya Edward Lowassa pamoja na Duni Haji hakuna atakayewazuia, Kwa jina la Yesu, ninalazimisha kila roho ya mwanadamu atii nyakati hizi.
Bwana umfanye Lowassa pamoja na Duni Haji na hakuna atakayewazuia, kwa jina la Yesu ninalazimisha kila roho mwanadamu atii nyakati hizi.
Bwana umfanye Lowassa na Duni Haji kuwa wakina Joshua wetu watakao tuvusha kwenye mto Jordan watupeleke kwenye nchi ya ahadi katika jina la yesu.Mungu kama vile ulivyowaangamiza watu wote walioshindana na watu wako ndivyo uwaangamize watu wote watakaonyoosha mkono juu ya Edward Lowassa na juu ya Duni Haji katika Jina la Yesu.
Ninaomba uwabariki wenyeviti wote wa Ukawa na Tanzania uihamishe kutoka mikononi mwao na watu waseme Imeshakuwaaaaa, watu hawakusita waliitika.
Imeshakuwaaaaaaa"
Sio maneno yangu, sio maneno yako La Hasha...Haya ni maneno ya Askofu Gwajima kubwa jinga.Ni wapi alitamka neno mabadiliko?
Naamini umenielewa vyema
(Unafiki ni kitu kibaya sana)
Huyu mtu anaitwa Gwajima juzi amekanusha akisema kuwa hakuwahi kumuunga mkono Lowassa wala Ukawa bali aliunga mkono Mabadiliko tafadhali rudi tena fatilia sala la huyu mnafiki utajifunza kitu.
Sina mengi
(Unafiki ni kitu kibaya sana)
Ni Neno La Wakati Mwema
Mathias Canal Mnyiramba
Nimetuama Dodoma
0756413465

1 comment:

  1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete