Wednesday, December 30, 2015

HII NDIO ZAWADI YA KRISMASI ALIYOJIPA MAYWEATHER

Yatosha

MAREKANI


Katika kusherehekea sikukuu ya krismass kila mtu alijipanga kwa vile alivyoona anataka iwe, lakini  Kwa upande wa Bondia wa kimarekani MayWeather alijikuta katika headlines baada ya kuamua kujinunulia mkufu na pete ya almasi amabvyo vinaaminika kuwa na thamani ya kati ya $ 10 na $ 15 milioni, kulingana na muonekano wake yake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Floyd Mayweather aliposti picha akiwa amevaa almasi hizo nakuandika maneno haya

“shhhhh, keep quiet and be polite while the diamonds are talking.”

Kwa tafsiri isiyo rasmi alimaanisha kuwa mpole wakati almasi zinaongeafloydmayweather-20151230-0001

Kati ya mapambano aliyocheza na  Manny Pacquiao na Andre Berto , kwa mwaka huu wa 2015 yalikuwa ya faida sana kwa Floyd Mayweather ambayo yanaripotiwa kuwa yalimuuingizia takribani $ 300,000,000 lakini staa huyo wa ngumi za kulipwa bado anaripotiwa kuwa una utajiri mkubwa fedha

No comments:

Post a Comment