Tuesday, August 23, 2022

WAZIRI WA MADINI DKT. BITEKO AHESABIWA KATIKA ZOEZI LA SENSA YA WATU NA MAKAZI


Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko akijibu maswali aliyoulizwa na Karani  wa Sensa ya Watu na Makazi Magera Kilosa wakati akihesabiwa nyumbani kwake Kata ya Bulangwa Wilaya ya Bukombe, Mkoani Geita leo tarehe 23 Agosti 2022.

No comments:

Post a Comment