Thursday, October 3, 2019

MKUTANO WA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI NA WAANDISHI WA HABARI


Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, Mkutano huo ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, katika mkutano wake na Waandishi wa Habari ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, Mkutano huo ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akikaribisha swali kutoka  kwa Mwandishi wa Habari (hayupo pichani), wakati wa Mkutano wake na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.

(Picha na Idara ya Habari-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment