Rais Dkt. Magufuli Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza
la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam leo Septemba 23,
2019. Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment