Sunday, September 22, 2019

MAJALIWA AANZA ZIARA MKOANI GEITA,AKAGUA UNUNUZI WA ZAO LA PAMBA CHATO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika la Chato, Charles Nyasi (kulia) wakati alipotembelea kiwanda cha kuchambua Pamba cha Chama hicho, Septemba 21, 2019. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel na wa pili kushoto ni Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wanachama, na Viongozi wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Chato pamoja na mwananchi kwenye kiwanda cha kuchambua Pamba cha chama hicho kilichopo Chato mkoani Geita, Septemba 21, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Chato kuanza ziara ya kikazi mkoani Geita, Septemba 21, 2019. Kushoto na Waziri wa Madini, Doto Biteko na wa tatu kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Geita, Said Kalidushi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Chato kuanza ziara ya kikazi mkoani Geita, Septemba 21, 2019.Kulia ni Mkuu wa moa wa Geita, Mhadisi Robert Gabriel na kulia kwa Waziri Mkuu ni Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani. (Picha naOfisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama Pamba wakati alipotembelea maghala ya Kiwanda cha Kuchambua Pamba cha Chama Kikuu cha Ushirika cha Chato mkoani Geita, Septemba 21, 2019. Kushoto ni Meneja wa Chama hicho, Charles Nyasi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kinu cha kuchambua pamba wakati alipotembelea Kiwanda cha Kuchambua pamba cha Chama Kikuu cha Ushirika cha Chato , Septemba 21, 2019. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Nishati na mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi, Robert Gabriel na kulia ni Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Chato, Charles Nyasi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment