Sunday, July 7, 2019

MAREKANI YATETEA KOMBE LA DUNIA WANAWAKE,YAICHAPA 2-0 UHOLANZI

Wachezaji wa Marekani wakipongezana baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Uholanzi, mabao ya Megan Rapinoe dakika ya 61 kwa penalti na Rose Lavelle dakika ya 69 Uwanja wa Groupama, Decines-Charpieu mjini Lyon, Ufaransa hivyo kutwaa Kombe la Dunia la Wanawake PICHA ZAIDI SOMA HAPA

No comments:

Post a Comment