Tuesday, June 11, 2019

MAJALIWA AKUTANA NA SPIKA WA BUNGE LA RWANDA DONATILE MUKABALISA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa Bunge la Rwanda, Mheshimiwa Donatile Mukabalisa kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Juni 11.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge la Rwanda, Mheshimiwa Donatile Mukabalisa, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Juni 11.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment