Mkurugenzi
wa Shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu
nchini John Kalage akipanda mti katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii
iliyoambatana na upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira katika shule ya
sekondari ya Mukulat iliyopo Mkoani Arusha shughuli iliyohudhuriwa na
wafanyakazi wa shirika hilo ,wazazi na wadau wa elimu jana (Habari Picha Na Pamela Mollel,Arusha)
wa Shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu
nchini John Kalage akipanda mti katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii
iliyoambatana na upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira katika shule ya
sekondari ya Mukulat iliyopo Mkoani Arusha shughuli iliyohudhuriwa na
wafanyakazi wa shirika hilo ,wazazi na wadau wa elimu jana (Habari Picha Na Pamela Mollel,Arusha)
Wafanyakazi
wa shirika la Haki Elimu nchini wakiongozwa na Mkurugenzi wao John Kalage wa
tatu kushoto, wakichimba shimo kwaajili ya kuhifadhi taka ngumu katika shule ya
Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii
wa shirika la Haki Elimu nchini wakiongozwa na Mkurugenzi wao John Kalage wa
tatu kushoto, wakichimba shimo kwaajili ya kuhifadhi taka ngumu katika shule ya
Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii
Wafanyakazi
wa shirika la Haki Elimu nchini wakijiandaa kwenda kupaka rangi madarasa katika
shule ya Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii
wa shirika la Haki Elimu nchini wakijiandaa kwenda kupaka rangi madarasa katika
shule ya Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Haki
Elimu nchini John Kalage akipongezwa na Mkuu wa shule hiyo Vitalis Nada
mara baada ya kumaliza zoezi la upandaji miti katika shule hiyo jana
Mmoja
wa wazazi shuleni hapo akishiriki zoezi la umwagiliaji wa maua
katka maadhimisho ya huduma kwa jamii iliyoratibiwa na Shirika na Haki Elimu
wa wazazi shuleni hapo akishiriki zoezi la umwagiliaji wa maua
katka maadhimisho ya huduma kwa jamii iliyoratibiwa na Shirika na Haki Elimu
Wafanyakazi
wa Haki Elimu wakiwa wananendelea na zoezi la upakaji rangi shule hapo jana
wa Haki Elimu wakiwa wananendelea na zoezi la upakaji rangi shule hapo jana
Aliyeshika
ndoo nyekundu ni Abraham Lazaro kutoka Idara ya Habari na uchechemuzi akiwa na
mfanyakazi mwenzake wakiendelea na zoezi la umwagiliaji katika shule ya sekondari ya mukulati iliyopo
Mkoani Arusha katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii
ndoo nyekundu ni Abraham Lazaro kutoka Idara ya Habari na uchechemuzi akiwa na
mfanyakazi mwenzake wakiendelea na zoezi la umwagiliaji katika shule ya sekondari ya mukulati iliyopo
Mkoani Arusha katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii
Mwanafunzi
shuleni hapo akiwa amebeba ndoo kwaajili ya kubebea maji kwaajili ya shughuli ya
umwagiliaji shuleni hapo jana
shuleni hapo akiwa amebeba ndoo kwaajili ya kubebea maji kwaajili ya shughuli ya
umwagiliaji shuleni hapo jana
Meneja Idara
ya Huduma, fedha na Utawala Daniel Luhamo akichimba shimo la kuhifadhia taka
ngumu shuleni hapo
ya Huduma, fedha na Utawala Daniel Luhamo akichimba shimo la kuhifadhia taka
ngumu shuleni hapo
Mfanyakazi
wa Haki Elimu Raphael akiendelee na shughuli ya upakaji rangi
wa Haki Elimu Raphael akiendelee na shughuli ya upakaji rangi
Rose
Mwenda Mmoja wa wafanyakazi wa HakiElimu kutoka Idara ya Ushiriki na
Uwajibikaji wa jamii akipaka rangi bati katika shule ya Mukulat iliyopo Mkoani Arusha
Mwenda Mmoja wa wafanyakazi wa HakiElimu kutoka Idara ya Ushiriki na
Uwajibikaji wa jamii akipaka rangi bati katika shule ya Mukulat iliyopo Mkoani Arusha
Mwanafunzi
wa kidato cha nne shule ya Sekondari Mukulat
Stella Massawe akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa HakiElimu John Kalage,
zawadi iliyotengeneza katika klabu yao
ya wanafunzi ya Njoo Tuzungumze
wa kidato cha nne shule ya Sekondari Mukulat
Stella Massawe akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa HakiElimu John Kalage,
zawadi iliyotengeneza katika klabu yao
ya wanafunzi ya Njoo Tuzungumze
Mkuu wa
Miradi HakiElimu – Boniventura Godfrey akibeba ndoo za kuchotea maji kwaajili
ya umwagiliaji
Miradi HakiElimu – Boniventura Godfrey akibeba ndoo za kuchotea maji kwaajili
ya umwagiliaji
Baadhi ya
wazazi wakisalimia katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii iliyoambatana
na uapandaji wa miti na tunzaji wa mazingira katika shule ya sekondari ya
mukulati iliyopo Mkoani Arusha shughuli iliyohudhuriwa na wafanyakazi wa
shirika hilo ,wazazi na wadau wa elimu
wazazi wakisalimia katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii iliyoambatana
na uapandaji wa miti na tunzaji wa mazingira katika shule ya sekondari ya
mukulati iliyopo Mkoani Arusha shughuli iliyohudhuriwa na wafanyakazi wa
shirika hilo ,wazazi na wadau wa elimu
Afisa Elimu
Taaluma Halmashauri ya Wilaya Arusha Vijijini ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa
Halmashauri akimkabidhi zawadi iliyotolewa na bodi ya
shule kwa Mkurugenzi wa Haki Elimu nchini John Kalage kwa kutambua umuhimu wa
elimu Nchini
Taaluma Halmashauri ya Wilaya Arusha Vijijini ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa
Halmashauri akimkabidhi zawadi iliyotolewa na bodi ya
shule kwa Mkurugenzi wa Haki Elimu nchini John Kalage kwa kutambua umuhimu wa
elimu Nchini
Picha ya pamoja
No comments:
Post a Comment