Wednesday, March 23, 2016

Waziri Mkuu Majaliwa Akutana Na Wawekezaji Wa Sukari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na ujumbe wa Wawekezaji kutoka India wanaokusudia kuwekeza katika kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari hapa nchini, Ofisini kwake jijini Dar es salaam machi 23, 2016. 

Kushoto kwake ni Waziri wa Kilimo, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment